wafanyabiashara mbeya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mwanongwa

    DOKEZO Baadhi ya Wafanyabiashara Mbeya acheni kuajiri Watoto kwenye biashara zenu, wasaidieni wapate elimu

    Ajira kwa Watoto limekuwa tatizo sugu sana hapa nchini, tukiachana na wadada wa kazi ambao asilimia kubwa wanakuwa ni wale ambao wameacha shule au ndiyo wametoka kuhitimu elimu ya Msingi, kuna hawa Wafanyabiashara wanaomiliki maduka kwenye masoko mbalimbali hapa nchini wamekuwa na utaratibu wa...
  2. PLATO_

    Wafanyabiashara jijini Mbeya waungana na wenzao wa Kariakoo na Mwanza kugoma

    Leo nimepita mitaa ya Mwanjelwa nimekuta fremu zimefungwa. Wamachinga wanaendelea na biashara zao kama kawaida. ==== Pia soma: Mgomo wa Soko la Kariakoo, Juni 24, 2024 Mgomo wa Wafanyabiashara wahamia Mwanza, maduka yafungwa
Back
Top Bottom