Ajira kwa Watoto limekuwa tatizo sugu sana hapa nchini, tukiachana na wadada wa kazi ambao asilimia kubwa wanakuwa ni wale ambao wameacha shule au ndiyo wametoka kuhitimu elimu ya Msingi, kuna hawa Wafanyabiashara wanaomiliki maduka kwenye masoko mbalimbali hapa nchini wamekuwa na utaratibu wa...
Leo nimepita mitaa ya Mwanjelwa nimekuta fremu zimefungwa. Wamachinga wanaendelea na biashara zao kama kawaida.
====
Pia soma:
Mgomo wa Soko la Kariakoo, Juni 24, 2024
Mgomo wa Wafanyabiashara wahamia Mwanza, maduka yafungwa