wafanyakazi hewa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. DeepPond

    Elon Musk aanza kufanya uhakiki wa watumishi hewa nchini Marekani

    Wakuu, Taasisi iliyoanzishwa na Rais Donald Trump ya Ukaguzi wa Ufanisi WA serikali ya marekani (GOVERNMENT EFFICIENT) chini ya mkurugenzi wake yaani DOGE-(Director of Government Efficient) Bwana Elon Musk. Sasa imepewa jukumu la uhakiki WA serikali kuu kwa watumishi hewa na wale watumishi...
  2. A

    DOKEZO Bado kuna watu wanapokea mishahara hewa Serikalini

    Nikiwa nimekaaa kijiweni, jamaa mmoja anasema wazi wazi mkewe anapokea mshahara pasipo Kufanya kazi Serikali ila mpunga kila mwezi unaingia na hili anadai ni kwa watu wengi huo mtindo ndo habari ya mjini kwa sasa. Nimempongeza kwa hilo maana maana anadai huko Serikalini viongozi wa juu...
  3. Megalodon

    Rais Samia, vyeti feki na wafanyakazi hewa kwenye taasisi za Umma bado ni tatizo

    Mimi kwangu ukiniuliza the first genius president kuwahi kutokea kwenye ardhi ya Tanzania, in good spirit nitamtaja JPM. Mpaka leo bado najiuliza yule MSUKUMA aliwezaje wezaje! Tukiri kuwa kwa TZ, jamii ya wasukuma huwa wanajua sana kusimamia mambo na yakaenda, shida kubwa tu ya wasukuma ni...
Back
Top Bottom