BUNGE limeambiwa kuwa Serikali inavunja sheria kulinda makosa yake ya kupoka mamlaka ya Mifuko ya Hifadhi ya Jamii.
Hayo yameelezwa leo bungeni Dodoma na Mbunge wa Viti Maalumu, Esther Bulaya alipokuwa akichangia mjadala wa Bajeti Kuu ya Serikali iliyowasilishwa wiki iliyopita na Waziri wa...
Lakini kubadili formula ya kikototoo ambayo ilikuwa inazidishwa kwa 1/540 na sio hii ya 1/580 ya sasa
Ni sawa na kumuongezea mtu shs 5,000 hafafu uchukue shs 4000, maana yake umemuongezea shs 1000
Au niseme;
Wangesema tu wale wa 25% watapanda wafike 27% na wale wa 33% watapanda wafike 35%...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.