Utangulizi; Muda mrefu mfumo wa ufanyakazi kwa serikali umekuwa wa kuajiliwa jumla, jambo ambalo limekuwa likifanya watumishi wengi wafanye kazi kwa mazoea,wakose uadilifu nk. Yote ayo ni kutokana na wafanyakazi awa kuwa na uhakika wa kazi kwamba hata afanye kosa gani anajua ataendelea kuwepo...
Mishahara lazima iendane na uwezo wa Ukuaji wa uchumi, Ofisi za serikali zimejaa uvivu, story, nyodo muda wa kazi, Lunch masaa mawili, Pesa kubwa mnazotaka wakati hamtoi huduma bora kwa wakulima na wafanyabiashara zitatoka wapi?
Nyongeza ya mshahara aliyoitoa Samia mwaka huu inabidi mshukuru...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.