Ndugu waajiri ni muhimu sana kuwa makini na hawa watu kwenye Biashara zenu.
Msiwaamini kupitiliza wanawafukuzia wateja muhimu.
Ukiwepo mwenyewe wanakua wapole, ukiondoka wanafanya wanavojua wao.
Hawa ni moja ya vitu vinavyosababisha malalamiko katika huduma unayotoa. Fuatilia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.