wafia dini

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kiboko ya Wachawi aonekana DR Congo, awatambishia Watanzania kuwa anakula maisha. Asema amemisi zile laki tano za kiingilio

    Baada ya serikali kulifungia Kanisa la Christian Life Church linaloongozwa na Mchungaji Domique Kashoix Dibwe maarufu Kiboko ya Wachawi, sasa mlinzi wake maarufu Mwarabufighter1 ameposti video kwenye mtandao wa kijamii akiwa na Mchungaji Dibwe Lubumbashi nchini Kongo. Soma pia: Kufungiwa kwa...
  2. Dhambi 5 zisizoepukika hata kwa washika dini

    Hata uwe mtu wa dini vipi kwa siku angalau utatenda mojawapo ya hizi dhambi. 1. Uongo 2. Uzinzi/uasherati 3. Dhuluma 4. Ubinafsi/Uchoyo 5. Chuki
  3. Kama unapenda mambo ya kidunia nakushauri usijenge wala kupanga na mtu au watu anayependa dini mtasumbuana

    Nakumbuka niliwai kupanga nyumba ya mpenda dini basi kila nacho fanya ujana wangu yani kila siku kuning'ang'ania ni silimu ikabidi nihame ile nyumba. Nikapata nyumba nyengine ya mlokole yani enzi hizo nyimbo ya FM academia na ekudo sound hataki nyumba yake tupige ila usiku ni mwendo wa maombi...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…