waganga na ukatili

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Polisi mkoani Iringa limetangaza vita dhidi ya wagaga wa kienyeji wanaochochea vitendo vya ubakaji

    Tumalize maadhimisho haya kwa kuahidi kuchukua hatua dhidi ya Ukatili wa Kijinsia na kujenga Dunia yenye Haki na Usawa Sote tuna jukumu la kuhakikisha tunakuwa sehemu ya suluhisho ili kuleta mabadiliko ya kweli Soma Pia: Maadhimisho ya 16 Days Of Activism: tuungane kuwalinda Wanawake na...
  2. Pre GE2025 Waganga wakataa kuhusishwa na matukio ya mauaji ya watu yanayotokea karibuni nchini

    Waganga wa Tiba asili waomba kutohusishwa na matukio ya ukatili yanayotokea kwenye jamii kwani wao hawahusiki na kuwatuma watu wafanye ukatili badala yake wameomba kupewa thamani kama ambavyo madaktari wa Hospitalini wanavyothaminiwa kwani dawa zote za hospitali zilitokana na dawa za asili...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…