waganga wa jadi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kaunara

    Ni kweli wataalamu wa Jadi wanatoa msaada katika Jamii au ni Utapeli?

    Wataalamu wa jadi wapo dunia nzima kila sehemu wapo. Katika maisha ya binadamu kuna mauza uza mengi sana. Kuna mda binadamu anashindwa kupata hata usingizi kutokona na mambo kuwa tight. Kila mmoja anajua ni jinsi gani anajua kutatua changomoto kama hizi wengine wanamalizia stress na pombe...
  2. U

    Waganga Tiba Asili kukutana Chalinze, kutoa huduma za kitabibu bure

    Waganga Watafiti wa Tiba Asili wapatao 250 kutoka Afrika wanakutana nchini Tanzania kutembelea Mzimu wa Afrika uliopo Chalinze mkoani Pwani na kutoa huduma za kitabibu bure kwa wagonjwa wanaosumbuliwa na magonjwa sugu. Hayo...
  3. Kyambamasimbi

    Waganga wa jadi limekuwa tatizo nchini sasa tuwakatae

    Habar wanajf. Kutokana na matukio yanaoendelea katika nchi yetu hasa Kanda ya Ziwa, na kati imefanya niandike huu Uzi, kwamba Hawa watu sasa imekuwa shida. Kwani wanachangia uvunjifu wa amana kwa kuua watu wazima na watoto wasio na hatia maskini ya Mungu, ni kuwa tiba asili ni utamaduni wetu...
  4. BARD AI

    Rais Museveni apiga marufuku waganga wa jadi kutibu Ebola

    Rais wa Uganda Yoweri Museveni siku ya Jumatano aliamuru waganga wa kienyeji kuacha kuwatibu wagonjwa katika jitihada za kukomesha kuenea kwa ugonjwa wa Ebola, ambao tayari umegharimu maisha ya watu 19 nchini humo. Katika hotuba yake kwa taifa, kiongozi huyo mkongwe pia aliagiza maafisa wa...
  5. Binadamu Mtakatifu

    Mbona matapeli na waganga wa jadi wamejaa Voda?

    Mimi ni mtumiaji mzuri wa airtel ila baada ya kupoteza simu nikaibuka na voda wapo vizuri ila shidaaa ni hii message za matapeli haziishi yani hujakaa vizuri mara mganga wa nguvu za kiume na utajiri. Wanadili gani hawa maana si kwa tigo na mtandao mingine ni kubaatisha ila voda message hizi...
  6. Waziri2025

    Meya Arusha awataka waganga wa tiba asilia kuwekeza katika tafiti za mimea, awataka wawe "smart"

    Mstahiki Meya wa Jiji la Arusha, Maximillan Iranqe amewataka waganga wanaojishughulisha na tiba asilia mkoani Arusha kuwekeza zaidi katika tafiti za mimea inayotibu maradhi ya mbalimbali kama nchi za barani Asia hususani China. Pia awataka waganga hao kujiepusha na vitendo vya utapeli ili kuipa...
  7. K

    Madhara ya chale za waganga wa jadi ni yapi?

    Kwa wanaoelewa madhara ya sasa ama baadae ya haya machale ya waganga wa jadi tafadhali tuwekee humu jamvini ili watu wafanye maamuzi magumu maana wivu mtaani umekuwa sugu
Back
Top Bottom