The Goma (Swahili: Wagoma, Khihoma: Bahoma, Ebembe: Bakyobha), who also refer to themselves as Al ghamawiyyun in Arabic, are a tribe in the Kigoma Region in western Tanzania. They are a contingent of the Bantu tribe who are more commonly found in Tanzania and present-day Democratic Republic of Congo who migrated from the western shore of the Lake Tanganyika in Democratic Republic of Congo with origins from Sudan. They are the first group of the Bantu tribe to ever cross the Lake Tanganyika and also the first group to reside in the Urban District of Kigoma as its inhabitants. Following the Wagoma were Niakaramba (Kwalumona) from Cape Karamba and then Wabwari from Ubwari peninsula. The Kwalumona merged within Wabwari, identified themselves as Bwaris and settled north of Wagoma in Kigoma before resettling in Ujiji and its environs, where they formed a tribal Confederacy in Ujiji known as Wamanyema. The Wagoma crossed the lake early due to their invention of dug-out canoes mitumbwi ya mti mmoja curved from Mivule trees of Ugoma mountains from western shore of the Lake.
Kufuatia tukio la mama mjamzito aliyejulikana kwa jina la Bi. Sophia Shabarula, mfugaji jamii ya kimasai, kupoteza maisha wakati akijifungua katika Hospitali ya Wilaya ya Kilosa, ndugu na jamaa wa familia ya marehemu huyo wamegoma kuchukua mwili wa marehemu wakishinikiza kupatiwa sababu za...
Walimu na wafanyakazi Shule ya Sekondari ya Meta, iliyopo mkoani Mbeya, inayomilikiwa na Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi, wamegoma kuendelea kufundisha na kuwasimamia mitihani inayoendelea katika shule hiyo wakishinikiza kulipwa malimbikizo yao ya mishara ambayo hawajalipwa kwa zaidi ya...
Kwa jinsi wachuganistan walivyojiandaa na Land Rover Festival, na jinsi Media zilivyosapoti tukio hili zito, ni jambo la kushangaza kwamba Guiness World Records wameshindwa kutambua rekodi hii iliyovunjwa na watu wa Arusha, ya msafara wa magari zaidi ya 1000. Mpaka hivi sasa hawajazungumza...
Kwema Wadau,
Kama mnakumbuka mwezi wa 8 hapa katikati wafanyakazi wa Jomo Kenyatta International Airport walifanya mgomo.. kwa kweli niliona ile ishu juu juu skufatilia zaidi.
Sasa hapa nasikiliza D.W lunch time nasikia shughuli zote za usafiri JKIA zimesimamishwa na wafanyakazi wamegoma mgomo...
Mgomo wa wafanyabiashara katika Soko Kuu la Mafinga lililopo Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa wa kufunga maduka, umeingia siku ya pili leo Agosti 24, 2024 ukisababisha adha kwa wananchi kukosa huduma.
Mwananchi limefika sokoni hapo na kushuhudia milango ya maduka hayo imefungwa huku baadhi ya...
Leo wanaijeria wamefanya mgomo usio na fujo kupinga maisha magumu nchini kwao.
Pichani:
Je sisi tunaweza au tunasubiri upinzani.
---
A curfew has been imposed in Nigeria second-biggest state, Kano, after protests against the high cost of living were "hijacked by thugs" who engaged in...
Maduka yote ya Stendi Kuu ya Moshi mkoani Kilimanjaro yamefungwa leo kutokana na mgomo wa wafanyabiashara hao ambao wanadai Kodi inayotozwa stendi hapo ni kubwa isiyo rafiki.
EATV imeshuhudia uongozi wa Manispaa ya Moshi ukipachika kipeperushi kwenye kila duka kilichoandikwa, "PAMEFUNGWA NA...
Taarifa zaidi hii hapa
Mawakala wa Forodha pamoja na Wasafirishaji wenye magari zaidi ya 500 wa Tanzania wamefanya mgomo ikiwa ni siku ya pili katika mpaka wa Namanga uliopo katika Wilaya ya Longido Mkoani Arusha wakishinikiza kupunguzwa kwa utitiri wa kodi pamoja kutokea kwa sintofahamu kwenye...
WAFANYAKAZI LSG SKY CHEFS WAANDAMANA HADI OFISI ZA TUCTA KUDAI HAKI ZAO
Mashirika ya Ndege zaidi ya ishirini yanayofanya safari zake ndani na nje ya nchi huenda huenda yakakosa huduma za vyakula na viburudishi safarini, baada ya wafanyakazi wa kampuni inayotoa huduma hiyo ya LSG Sky Chefs...
Wenye akili tulitegemea baada ya Kariakoo nyumbu watafuata mkumbo. Kawaida hakuna mfanyabiashara anapenda kulipa kodi kwa hiyari ni sheria tu inambana. Baada ya serikali kuimarisha mifumo ili kuwabana wameamua kugoma. Mm huwa hainiigii akilini mtu kugomea shughuli zake, anamgimea nani, na je...
MWENGE WA UHURU UNAOSEMEKANA UMILIKE PALE PASIPO NA HAKI, LEO 2024 KWA ZUKA TAFRANI YA HAKI
Wananchi hao vijiji vya wilaya ya Hai mkoa wa Kilimanjaro wadai ardhi yao kuporwa na mamlaka ya Bonde la Pangani, hivyo walikuja na mabango kuonesha kero wanayopitia lakini mabango yao yalikumbana nguvu...
Baadhi ya wanafunzi waliotakiwa kujiunga na kidato cha kwanza katika maeneo mbalimbali ya Kanda ya Ziwa wamegoma kuripoti shuleni kwa kigezo kuwa wenzao waliomaliza kidato cha nne, sita na chuo kikuu wapo mitaani bila ajira.
Wanafunzi hao wamesema hali hiyo imewakatisha tamaa ya kuendelea na...
Baadhi ya Wafanyakazi wanaoshiriki katika Ujenzi wa Mradi wa Reli ya SGR wameshiriki katika mgomo wa kutofanya kazi leo Jumamosi Januari 6, 2024 kutokana na kinachodaiwa kutolipwa mishahara yao ya Desemba 2023.
Licha ya kupunguza wafanyakazi zaidi ya 600 hivi karibuni Mkandarasi Mkuu wa SGR...
Ndugu Comrade Paul Christian Makonda karibu Kanda pendwa ya Ziwa ujionee ilani ya Chama inavyotekelezwa Kwa vitendo. 2024/2025 Ushindi ni lazima.
---
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndg. Paul Christian Makonda atakuwa na ziara mahususi mkoa kwa mkoa kuanzia tarehe 9 hadi 14 Novemba 2023.
Mikoa...
Wabunge nchini Nigeria wanatarajia kutumia zaidi ya 38m$ ambapo kila mmoja Kati ya wabunge 466 atatumia zaidi ya 400m za kitanzania kuagiza gari aina ya Toyota SUV
Pendekezo la kununua magari ambayo ni home made lilitupiliwa mbali na wabunge hao wakidai hayaendani na hali ya barabara nchini...
Baadhi ya wafanyakazi wa TANESCO wamepinga graphics zinazosambaa za kumpongeza Maharage na mwenyekiti wa Bodi. Wanahoji hizo pongezi wamezitoa wakiwa wapi?
Imedaiwa ni kikundi cha watu kimeshinikiza watu wakae na kutoka ASANTE na Shukurani.
Hizo Pongezi za Mkurugenzi mpya tumezitoa wapi hata...
Watumishi na Wanahisa waliofungiwa ndani ya Kiwanda cha NPC KIUTA kutokana na mgogoro unaoendelea.
Wafanyakazi wa Kiwanda cha Uchapaji cha Taifa au NPC National Printing Company Limited (KIUTA) ambacho kwa ufupi kunatambulika kwa jina la NPC KIUTA wanapitia wakati mgumu, baadhi yao wakiwa...
Anonymous
Thread
kinauzwa
kiwanda
kiwandani
kutoka
siku
siku tatu
wagoma
wanahisa
Watumishi watatu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Mkoa wa Tabora sasa kuondolewa mkoani humo kwa madai ya kulalamikiwa na wafanyabiashara wa Soko Kuu Tabora.
Wafanyabiashara hao wamefanya mgomo kutokana na madai ya mwenzao kuchukuliwa mali zake na watumishi wa TRA usiku wa kuamkia leo...
Leo tarehe 15.06.2023 wafanyabiashara wa Iringa mjini wamegoma kufungua biashara zao baada ya askari wa manispaa ya Iringa jana kuvunja na kuharibu biashara zao kwa kuvunja vibaraza vya maduka. Jambo hilo limeharibu mali zao wafanyabiashara na pia kufungwa kwa biashara kumesababisha kukosekana...
TRA Tanzania wagoma kufungua office za Vingunguti, wananchi wataka kuvunja mlango na kulazimisha wahudumiwe. Hadi muda huu milango imefungwa, walipa kodi wako nje na wengine wameamua kuondoka zao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.