wagombea kuenguliwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    Pre GE2025 John Heche: CCM haitaki uchaguzi, Makalla akisema 'hatujajiandaa' aulizwe kwa nini wanaengua wagombea

    Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Bara John Wegesa Heche John Heche amesema chama hicho kimejiandaa kushiriki uchaguzi mwaka huu hivyo kikisema 'no reform no election' isitafsiriwe kama hawakujiandaa. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi...
  2. K

    LGE2024 Rufaa za CHADEMA Simiyu zagonga mwamba. Wagombea 200 waenguliwa

    Uko Wilaya ya Itilima Mkoa wa Simiyu, nimeona kupitia Global TV Online, zaidi ya Wagombea wetu wa CHADEMA rufaa zao zimegonga mwamba, hivyo wameenguliwa wasigombee nafasi yeyote uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024. Waombea takribani 240 wa nafasi mbalimbali, wameenguliwa kugombea katika uchaguzi...
  3. Organic Live Food

    LGE2024 Uchaguzi wa tarehe 27 November tunaenda kumchagua nani kama wagombea wengine wameenguliwa?

    Wana Jf habari za kwenu. Tulihimizwa sana tujiandikishe na elimu ikatolewa kwa wingi sana. Tulielewa tulioelewa tukajiandikisha Sasa tunahimizwa tukashiriki uchaguzi tukawachague viongozi tunaowataka Swali: Tunaenda kumchagua nani kama wagombea wanaenguliwa? Binafsi nimepoteza matumaini...
Back
Top Bottom