Uko Wilaya ya Itilima Mkoa wa Simiyu, nimeona kupitia Global TV Online, zaidi ya Wagombea wetu wa CHADEMA rufaa zao zimegonga mwamba, hivyo wameenguliwa wasigombee nafasi yeyote uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024.
Waombea takribani 240 wa nafasi mbalimbali, wameenguliwa kugombea katika uchaguzi...