wagonjwa wa moyo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mtoa Taarifa

    Mikoa ya Kaskazini yaongoza kwa Wagonjwa wa Moyo kutokana na unywaji wa Pombe Kali

    IDADI kubwa ya wagonjwa wa moyo wanaotoka mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Manyara na Tanga, wanapata maradhi hayo kutokana na unywaji wa pombe kali uliopitiliza, wataalamu wamebaini. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), Dk. Peter Kisenge alisema mwishoni mwa wiki kuwa...
  2. I

    Mkurugenzi JKCI: Kati ya watu takribani elfu 16,000 waliohudumiwa kwenye 'tiba mkoba', asilimia 25 wana magonjwa ya moyo

    Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), Dr. Richard Kisenge amesema kuwa kupitia huduma ya tiba mkoba inayotambulika kama (Dkt. Samia Suluhu Hassan Outreach Service), tayari imifika karibia mikoa 16 nchini na kuhudumia watu takribani elfu 16,000 ambapo kati ya watu hao...
Back
Top Bottom