IDADI kubwa ya wagonjwa wa moyo wanaotoka mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Manyara na Tanga, wanapata maradhi hayo kutokana na unywaji wa pombe kali uliopitiliza, wataalamu wamebaini.
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), Dk. Peter Kisenge alisema mwishoni mwa wiki kuwa...
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), Dr. Richard Kisenge amesema kuwa kupitia huduma ya tiba mkoba inayotambulika kama (Dkt. Samia Suluhu Hassan Outreach Service), tayari imifika karibia mikoa 16 nchini na kuhudumia watu takribani elfu 16,000 ambapo kati ya watu hao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.