wagonjwa wa saratani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Nini sababu ya kuongezeka kwa wagonjwa wa saratani Tanzania?

    Siku za hivi karibuni kumekua na vifo vingi vinavyohusiana na saratani. Mwaka jana tulizika ndugu yetu,mwanamke wa umri wa miaka 46 aliyekuwa anasumbuliwa na saratani,aliugu muda mrefu pamoja na maumivu makali. Juzi kuna kijiji nilienda kuna mama mmoja namfahamu ni mama mtu mzima umri miaka 64...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…