Habari wadau poleni na majukumu ya kujenga Taifa.
Moja kwa moja kwenye mada .Nimekuwa nikifuatilia tabia za hawajamaa kwenye matukio yote ya kiserikali mfano sensa na uchaguzi .Hawa jamaa huwa wako makini sana ili uwapate lazima uwape nyama .
Mfano sensa ya mwaka juzi walipewa nyama...