wahamiaji haramu kurudishwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Hawa wapendwa wetu kutoka Marekani wanarudi lini?

    Wakuu mtakumbuka mara baada ya marekani kutangaza kurudishwa nyumbani kwa raia wa nchi kadhaa, kumekuwa na mfululizo wa misafara ya wenzetu hawa kuelekea nchi zao. Juzi kati niliona India wakiwapokea watu wao. Hawa wa kwetu mbona hawarudi hadi leo hii au wameambiwa warudi kwa miguu?
  2. Hadi kufikia Novemba 24, 2024, Idadi ya watu waliopaswa kuondoka Marekani ni 1,445,549, wamo watanzania 301

    Rais wa 47 wa Marekani, Donald Trump, ameendelea kuonesha msimamo mkali kuhusu suala la wahamiaji. Katika sera zake, amesisitiza kuimarisha usalama wa mipaka, ikiwemo ujenzi wa ukuta mpakani na Mexico, pamoja na kuimarisha sheria za uhamiaji ili kupunguza wahamiaji wasio na vibali halali. Trump...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…