Rais wa Botswana, Duma Boko, akihutubia baada ya kuapishwa rasmi kuwa Rais wa nchi hiyo.
Rais mpya wa Botswana, Duma Boko, amesema anataka kuhalalisha Wazimbabwe wasiokuwa na vibali rasmi kwa kuwapa vibali vya muda vya kazi na makazi. Ameeleza kuwa Wazimbabwe hufanya kazi ambazo wananchi wa...