Ukifuatilia usimamishwaji kazi wa wahandisi wa maji unaofanywa na Jumaa Aweso, ni usanii mtupu!
Unakuta mhandisi anasimamishwa kazi kwa ubadhilifu wa mali ya umma au uzembe, baada ya miezi mitatu kupita mhandisi anahamishiwa wilaya nyingine.
Aweso ni msanii.
Pia soma
Meneja wa usambazaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.