Ukifuatilia usimamishwaji kazi wa wahandisi wa maji unaofanywa na Jumaa Aweso, ni usanii mtupu!
Unakuta mhandisi anasimamishwa kazi kwa ubadhilifu wa mali ya umma au uzembe, baada ya miezi mitatu kupita mhandisi anahamishiwa wilaya nyingine.
Aweso ni msanii.
Pia soma
Meneja wa usambazaji...