Don't Put All your hopes in One Basket, Heri nusu shari kuliko shari kamili
Unakutana na kijana fresh outta chuo / college ana degree yake akiwa na mategemeo makubwa sanaaa !!
huko vyuoni wamedanganyana vitu vingi sana, Uhalisia wa Tanzania ni X wao wanapeana matumani tofauti kabisa Z.
Kijana...
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa akizungunza na wakazi wa Igunga, Tabora.
"Tumeendelea kuimarisha sekta ya elimu, Muheshimiwa mbunge ulisema unahitaji VETA tumeleta VETA, hizi VETA tumezijenga ili wewe ukasomee ufundi utusaide katika shughuli za ujasiriamali VETA...
ada
ada kubwa
ajira
chuo cha veta
english
english medium
kasim majaliwa
madaktari
majaliwa
rais samia
shahada
veta
wahitimuwadegreewatoto
wazazi
waziri mkuu
waziri mkuu majaliwa
Wahitimu wa degree wanaopitia changamoto za kiuchumi hupata msongo wa mawazo kwa sababu jamii huwa na matarajio makubwa kwao. Jamii huamini wanapaswa kuwa wajanja zaidi kwenye fursa hata wasipopata ajira. jamii huwashusha thamani na hata kuwatania vijana hawa inapoona kuna vijana wenye elimu ya...
Wakili na mwanaharakati Tito Magoti amewataka wahitimu kuacha kutumika kusambaza hashtags na badala yake watafute kazi za kufanya za kuwaingizia kipato wasitumike kama TP.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio...
Hello fellow members,
I want to raise awareness about an issue that is affecting many industries today – artificial intelligence (AI). It is clear that AI is transforming the job market, and we need to be aware of how this could impact the careers we’re working so hard for.
AI is being...
accounting and finance
administration
ai technology
ajira baada ya kuhitimu
artifical intelligence
cybercrimes
forex trading
radiologist
wahitimuwadegree
Habari,
Je, hii ni sawa kwamba Baba Yako ameuza mchicha na kuni na wewe graduate uuze maji na kuni? Moja ya changamoto ya jamii nyingi zinapelekea vijana wengi kuwa na msongo Kwa sababu Kila anachofanya msomi unasikia, eti mtu ana degree anauza mchicha? Mtu ana degree anafanya hivi? Guys...
Kwanini watu wenye Certificate na Diploma wanapata ajira sana kuliko wenye Degree
Daaah!! Kwahiyo tunahukumiwa na elimu yetu kisa kusoma kwa bidii jamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.