Hayawi Hayawi yamekua sasa!
SGR imeanza kazi na inaenda kufunguka zaidi.
wapo baadhi ya Watanzania walishirikiana na majirani zetu kuhujumu mradi huu muhimu.
Wahujumu hawa walitumia mbinu zote ila imeshindikana.
bado wanaendelea na mbinu mbalimbali yaani kuonesha hata maeneo strategic...