Wakuu Achimwene!!!!
Kuna siku nilienda kuhudhuria tamasha la wasanii walikuja hapa mkoani kwetu wakitokea Dar.
Wasanii waliokuja asilimia 80 walikuwa ni ma legend mf..nature, Daz baba, Linna, Fido vato, n.k.
Sasa kitu kilichonishangaza kuhusu wahuni wa hapa ni ukorofi na ubishi wao.
Jamaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.