Today's Decision are tomorrow Realities..., Nadhani hawa ndugu zetu ni kama Petroli inafuka inahitaji Spark (cheche) kidogo tu ili moto kuwaka...; Sasa kwa faida ya vitukuu vyao kwanini wasichanganyikane zaidi na zao la mchangayiko huo lisitengwe ?;
Haya mambo mwisho wa siku ni perception tu...
Amani iwe nanyi wapendwa katika BWANA
Nimeona nije hapa niweke mambo sawa
Maana nimeona Kuna watu wanapotosha sana
Mimi nimefika Rwanda napajua vizur sana na nchini Rwanda wahutu ni wengi sana kuliko watusi
Robo tatu ya watu wa Rwanda ni wahutu
Asante sana kwa kunisikiliza
Sisi wafuasi...
Ninini hasa tofauti ya hizi jamii mbili wahutu na watusi?
Mimi ninavyojua ni haya kama nakosea naomba kuelimishwa!
1. Wahutu ni wafupi watusi ni warefu
2. Kitusi ni lugha na kihutu ni lugha
3. Rwanda wanakaa watusi na Burundi wanakaa wahutu
Maswali yangu!
1. Je, Burundi kuna watusi?
2. Rais...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.