Mbunge wa Tarime, Mh. Waitara ni miongoni mwa wanadamu wanaopitia magumu sana jimboni kwake.
Waitara hakubaliki sio na wana CCM wala Wapinzani.
Na sasa wameanzisha mpango kazi wa kumuondo ndani ya chama chake asigombee tena ubunge.
kwa ushauri huyu pamoja na Gambo watafute kazi nyingine za...