wajenzi

  1. Mwl.RCT

    Funzo: Hakika Penye Miti hakuna Wajenzi

    --- BTW - Mwenye kujua jina la mwimbaji / jina la wimbo sikiliza dakika ya 2:53
  2. Gulio Tanzania

    Ni jambo la hatari sana kuwa waimbaji wa dini wajenzi huru

    Kuna video moja nimeona ambayo mchungaji mmoja simjui akimzungumzia swala la muimbaji wa injili matha na Joan kuwafuma wakifanya usagaji yeye matha alikiri kuwa ni kweli ni walikuwa kwenye mapenzi Mchungaji alitumia neno "tuliwafuma live" inawezekana jirani walisikia sauti za mahaba ikabidi...
  3. Father of All

    Ajali ya kuporomoka kwa ghorofa Kariakoo nani wa kulaumiwa baina ya wajenzi na serikali?

    Japo bado tunaombeleza, tunapaswa kuanza kutafuta suluhu ya mabalaa kama haya ambayo nimekuwa nikiyasikua huko kwa majirani zetu Kenya, India na hata Nigeria. Sasa yametufika. Kwanza, nani alaumiwe baina ya wenye nyumba na serikali? Pili, nini dawa ya tatizo hili? Je tutegemee mengine kama...
  4. V Chief

    Msaada kutoka xwa JF wajenzi

    Huo ufa hapo kwenye dirisha unasababishwa na nini na ni ipi njia sahihi ya kujenga ili kuzuia nyufa za aina hiyo kwenye dirisha
  5. Undava King

    Hadithi ya uumbaji inayotambuliwa na wajenzi huru

    HADITHI YA UUMBAJI YA UGNOSTIKI ➖Mojawapo ya mambo yaliyoweka ugnostiki tofauti na aina nyingine za Ukristo wa hivi karibuni ni kuhusiana na Hadithi yao ya kushangaza ya uumbaji ni tafsiri ya Hadithi ya uumbaji ya kitabu cha mwanzo ambayo kiukweli imeyageuza maandiko hayo ya Agano la kale...
  6. D

    Huyu Dogo naye rasmi kwa wajenzi huru!

    Humu unaweza kujitoa mwenyewe sadaka au kumtoa mwingine wa Karibu. Ila kikubwa ni kiapo Cha damu kisha unakabidhi nafsi.
  7. G

    Kuwatoa wajenzi Malawi kuwaleta Tanzania wanahitaji vibali gani?

    Habari zenu jukwaa. kuna kiwanja nilishawahi kukipata na kukipigia fensi, nataka niaze ujenzi mwezi wa sita. Dhumuni kuu la kuwaleta mafundi wamalawi ni ile sifa yao wanayojulikana kuwa nayo HONESTY / UAMINIFU japo soo wote, lakini pia huko Malawi gharama zao za ufundi zipo chini. vitu gani...
  8. M

    Kwa wajenzi na mafindi wengine. Pipe za 10mm napataje?

    Kwema wazee? Jamani natafuta pipe za plastic za 10mm lakini kwenye ma kardware kyna za 12mm na zaidi. Je pipe za plastic za 10mm naweza pata wapi dar? Na je zinatimika kwa kazi gani?
  9. Wildlifer

    Wajenzi wa Barabara, kwanini Molam haisambazwi punde baada ya kuwekwa barabarani?

    Nimeshuhudia mara nyingi malundo ya molam yakirundikwa barabarani kwa ajili ya ujenzi wa Barabara na kukaa muda mrefu (wiki moja hadi mwezi), na kisha kusambazwa. Mtaani nilipo, ni zaidi ya wiki ya tatu, toka molam imelundikwa. Kwanini yasimwagwe na kusambazwa haraka. Je, kuna sababu za kitalaam?
  10. M

    Uwezo mdogo wa kufikilia na tamaa ndio kikwazo kikubwa cha wajenzi wetu

    Mafundi wa Tanzania bado wanasafari ndefu sana ya kujifunza kutoka kwa mafundi wa nje . Mashundi wetu wanapenda sana short cut na kona … ukiwapa mwanya kidogo tu wanakuibia vifaa vya ujenzi , wanajenga kwa kuripua yaani ili mradi tu . Hawana uhadirifu kabisa sasa mtu atafute pesa ya kuwalipa...
  11. giningibuza

    INAUZWA Printers - Epson na HP inauzwa

    Wajenzi Dodoma mjini na Mwembe Yanga Dar es Salaam - 0623 071 611
  12. N

    Wajenzi wa utopoloni wako kazini, matofali ya biscuit

    mafundi maiko wa usajili wako kazini washajua hiki ni kipindi cha amshaamsha ya vyura vyuranii ,kudadeeki walahi na yale mapoyoyo yao ya media kina Priva na kitenge kikanga yanavyowapamba na wale wa mwanaspoti utasema ni PSG hao
  13. Kibosho1

    Itachukua muda mrefu sana kupata jiwe hili wajenzi walilolikataa

    Hakuna kitu kinauma kama majuto,majuto yanauma zaidi sababu yanakuja baada ya muda kupita. Hakuna aliewahi kurudisha nyuma muda akafanikiwa. Nyakati za Yesu alipingwa sana japo alisaidia wengi, aliponya wengi lakini bado alionekana si kitu. Baada ya kufa ndio walijua kuwa hakika alikua mwana wa...
  14. J

    CHADEMA itakosekana katika orodha ya kihistoria ya wajenzi wa Ikulu

    Katika orodha ya kihistoria ya walioshiriki ujenzi wa Ikulu chama cha Chadema hakitakuwemo. Hii ni kwa sababu wameshindwa kuhudhuria mkutano mkuu wa CCM na yale yaliyofuatia. Maendeleo hayana vyama!
  15. V

    Tunachimba visima vya kisasa

    bavi drilling tunafanya huduma zifuatazo ndani ya Dar Es Salaam na mikoa yote kufanya geophysical survey(ground water survey ) kujua kama site yako ina maji. Tunachimba kisima kwa machine zetu za kisasa hummer pamoja na kuweka pvc. Tunafunga pump za...
Back
Top Bottom