Tuombe kwa Mungu wote tuendelee kupatiwa uzima na afya
Miaka ishirini ijayo, ukisoma nyuzi zako na comments zako zitakutafakarisha nini?
Kwa wale tunaogonga nondo baada ya nondo, tutaendelea kujipongeza kwa beer baridi sana na kupiga kifua kwamba tumehuskika kuwatoa mamilioni ya watu ujinga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.