wajumbe wa baraza

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Tlaatlaah

    Mchujo wa kura za maoni CCM katika chaguzi zote ndio mara zote huamua na kuakisi sura ya Bunge lijalo

    Kura za maoni ndani ya CCM ndio hasa mwanzo wa kuwapata Rais wa nchi, wabunge na madiwani wa maeneo mbalimbali nchini. Ndio uchaguzi ambao unakuaga na mchuano mkali zaidi ya uchaguzi mkuu wenyewe ambao mara zote hua ni katika kukamilisha tu ratiba, sheria na matakwa ya kikatiba, lakini uchaguzi...
  2. Mindyou

    Pre GE2025 UWT yatoa onyo kwa wana CCM walioanza kufanya kampeni za chini kwa chini kuelekea Uchaguzi Mkuu

    Wakuu Jumuiya ya umoja wa wanawake Tanzania (UWT) wilayani Rufiji Pwani imewaonya wanachama wa chama cha Mapinduzi CCM walioanza kutangaza nia na kufanya kampeni za chini kwa chini kama ishara kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi mkuu Akizungumza katika mkutano wa waandishi wa...
  3. OKW BOBAN SUNZU

    Uteuzi wa Wajumbe wa Baraza la Ushauri Simba SC

    Katika kipindi cha miaka mitano iliyopita tangu tuanze safari ya Mabadililko Klabu yetu imepiga hatua kubwa sana katika nyanja mbali mbali. Pamoja na maendeleo ambayo Klabu yetu imepiga katika kipindi hiki cha miaka mitano lakini malengo yetu bado hatujayafikia. Mojawapo ya majukumu ya...
  4. P

    SoC03 Utawala bora katika Mabaraza ya Kata

    1.1 Utangulizi Katika kuhakikisha suala la utawala bora linatekelezwa hapa nchini, serikali imekuwa ikifanya juhudi za mageuzi ya kutumia teknolojia na kuanzisha mifumo ya Tehama, hii ikiwa ni katika jitihada za kuimarisha uwazi na uwajibikaji kiutendaji katika ngazi mbalimbali zinazotoa...
Back
Top Bottom