TAARIFA KWA UMMA
Kwa mujibu wa Kifungu cha 5(1) kikisomwa pamoja na jedwali la Sheria ya Shirika la Posta ya Mwaka 1993 Kipengele cha 1(1)(b) pamoja na Tamko la Waziri Na. 845 lililochapishwa kwenye Gazeti la Serikali la tarehe 15 Novemba, 2019 vinampa Mamlaka Waziri wa Habari, Mawasiliano na...
Wadau wa Soka la Bongo, Mmesikia huko?
Fatema Dewji ambaye ni mdogo wa Mohammed 'Mo' Dewji, ameteuliwa kuwa mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Singida Black Stars.
Wapo Omary Kaaya, Athumani Kihamia, Hussein Nyika wote wamewahi kuitumikia Yanga na kufanya Klabu hiyo ya Walima Alizeti kuwa kama...
TAARIFA KWA UMMA
Kwa mujibu na mamlaka aliyopewa Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mheshimiwa Jerry William Silaa (Mb) chini ya kifungu cha 7(1)(c) cha Sheria ya Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) ya mwaka 2009 na kifungu cha 66 (a)() cha Marekebisho ya Sheria Na. 4 ya...
Tasnia ya habari imevamiwa na magugu maji. MNA JUKUMU LA KUNG'OA MAGUGU
Na N'yadikwa - Milima ya Umalila
Hongereni kwa kuteuliwa.
Kwa kuzingatia changamoto za uandishi wa habari na utangazaji nchini Tanzania, Bodi ya Ithibati kwa Waandishi wa Habari ina majukumu muhimu ya kuhakikisha sekta ya...
Mimi ni Mwanachama hai wa Simba, Sijaridhishwa na Uteuzi wa Ramadhan Kailima kuwa Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba
Kailima ni mtu asiyeaminika na amewahi kutumika mara kadhaa na ccm kwenye masuala ya Uchaguzi na kuchangia kuvuruga amani, hakuna asiyelijua hili.
Mtu kama huyu anawezaje...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.