Mimi ni Mwanachama hai wa Simba, Sijaridhishwa na Uteuzi wa Ramadhan Kailima kuwa Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba
Kailima ni mtu asiyeaminika na amewahi kutumika mara kadhaa na ccm kwenye masuala ya Uchaguzi na kuchangia kuvuruga amani, hakuna asiyelijua hili.
Mtu kama huyu anawezaje...
Yaliyojiri kwenye mkutano ulliofanyika leo wa Wanachama Simba SC.
๐ช๐ฎ๐ท๐๐บ๐ฏ๐ฒ ๐๐ฎ๐บ๐ฒ๐ด๐ผ๐บ๐ฎ ๐ธ๐๐ท๐ถ๐๐๐๐น๐ :
Wajumbe wote wa bodi upande wa Wanachama wa Simba SC wenye 51% ya hisa kwa kauli moja wamesema kuwa HAWAJIUZU. Hawajiuzulu kwa sababu hawajafanya kosa lolote, wao wamejitoa sana kwa klabu sometimes...