wajumbe wa bodi wa wanachama

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Nawezaje kupinga uteuzi wa Wajumbe wa bodi ya Simba?

    Mimi ni Mwanachama hai wa Simba, Sijaridhishwa na Uteuzi wa Ramadhan Kailima kuwa Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba Kailima ni mtu asiyeaminika na amewahi kutumika mara kadhaa na ccm kwenye masuala ya Uchaguzi na kuchangia kuvuruga amani, hakuna asiyelijua hili. Mtu kama huyu anawezaje...
  2. Wajumbe Bodi ya Simba upande wa Wanachama wagoma kujiuzulu

    Yaliyojiri kwenye mkutano ulliofanyika leo wa Wanachama Simba SC. ๐—ช๐—ฎ๐—ท๐˜‚๐—บ๐—ฏ๐—ฒ ๐˜„๐—ฎ๐—บ๐—ฒ๐—ด๐—ผ๐—บ๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ท๐—ถ๐˜‚๐˜‡๐˜‚๐—น๐˜‚ : Wajumbe wote wa bodi upande wa Wanachama wa Simba SC wenye 51% ya hisa kwa kauli moja wamesema kuwa HAWAJIUZU. Hawajiuzulu kwa sababu hawajafanya kosa lolote, wao wamejitoa sana kwa klabu sometimes...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ