wajumbe wa chadema

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Bams

    Pre GE2025 Ujumbe mahsusi Kwa Wajumbe wa CHADEMA, msiue matumaini ya Watanzania

    Watanzania wana maumivu mengi na hasira kubwa dhidi ya CCM, chama ambacho kimekuwa kama syndicate ya kuwaumiza watanzania walio wengi na kuzineemesha familia chache kupitia kodi za hao wengi wanaoumizwa. CCM imekuwa na kiburi kisichoelezeka. Wananchi, kupitia tume ya Warioba walisema wanataka...
  2. Bams

    Wajumbe wa CHADEMA Mna Nafasi Kubwa ya Kukitoa Chama Kutoka Kwenye Familia, na Kukikabidhi kwa Wanachama

    Uchaguzi wa Taifa wa CHADEMA, umekuwa ni jambo la heri sana. Ndio uchaguzi uliowafanya watu wengi wayatambue madudu ya baadhi ya viongozi. Ni uchaguzi uliowaamsha wanachama na viongozi wa ngazi mbalimbali, kutambua kuwa kumbe hata ndani ya CHADEMA kuna takataka nyingi ambazo zipo ndani ya...
  3. G

    Kuna hatari ya Posho na nauli za wajumbe wa CHADEMA kutumika Kama rushwa. CHADEMA iweke wajumbe wazi juu ya bajeti hiyo au wanademokrasia wachangie

    Hiyo ni tahadhari naitoa mapema kabla ya mkutano mkuu wa chama Chadema . Leo imeshuhudiwa vurugu kubwa kwenye Baraza la vijana baada ya kutokuelewana juu Posho zao . Chama kiweke wazi juu ya bajeti ya mkutano mkuu wa chama , Kama haikuwepo hakukuwa na haja ya kupitisha uchaguzi Na Kama...
  4. Mindyou

    Pre GE2025 Dkt. Slaa: Mbowe ajitafakari sana. Ataaibika kwenye sanduku la kura

    Katibu Mkuu wa zamani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dkt. Willibrod Slaa, ametoa rai ya wazi kwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, kujitafakari na kuachia nafasi ya uongozi ili kutoa nafasi kwa kizazi kipya cha viongozi kama Tundu Lissu. Dkt. Slaa ametoa maoni hayo...
Back
Top Bottom