wakaka

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Hivi mbona nyie wakaka hamtununuliagi tu maua na tuzawadi?!

  2. Natafuta wadada na wakaka 5 kwa ajili ya kupika katika bakery

    Habari, Naitaji wafanyakazi 5 (wadada na wakaka) kwa ajili ya kunisaidia kupika katika bakery. Eneo: Kibaha Maili Moja Piga: 0678650509
  3. Kuondoa lawama sasa kila mtu abaki na mali zake. Wadada mubaki na mali zenu na wakaka tubaki na mali zetu.

    Kila kukicha kundi moja linalaumu kundi jingine. Eeeehh mara hivi mara vile. Dawa ni kila mmoja abaki na kitu chake anachoona ni cha thamani. Mapenzi zama hizi hayana faida . Mambo ya kugeuzana ATM machine hapana. Ni biashara ya upande mmoja.
  4. Kwanini wadada wengi hampendagi kutuunganisha Kimapenzi, sisi wakaka na rafiki zenu wa kike?

    Utakuta nimekutongoza umenikataa ukasema tuwe marafiki na nikakubali, au hata sijawahi kukutongoza ila sisi Ni mabesti, una rafiki wa kike uko karibu naye kuliko mimi nilivo karibu nae, hivyo mm kukutana nae kumtongoza inakua sio rahisi Kutokana na ugumu wa kimazingira, kwanini tukiwaomba...
  5. Wanaume warefu watamu sana

    Habari Jamani wakaka warefu wanajua sana mapenzi yaani huwa wanavitu vya kipekee sana yaani hata akikukis unafeel uko na mtu sasa shida ipo hawa vifupi jamani dah. Mpaka unaogopa kutambulisha kwa rafiki yako ila warefu hata akiwa mbali unatamani muda wote awepo karibu mchumuchumu tu.
  6. Leo zamu ya wadada wa JamiiForums kutongoza wakaka wa humu! Tuone vocal zenu

    Hebu wadada wa humu tutongozeni ili tupime misimamo yetu. Shusheni vocal hizo nasisi tuanze kutafuna majani na kung'ata kucha! 🔥
  7. Humu kuna wanaume wanaringa pwa!

    Humu kuna wanaume wanaringa kama nini. Sasa ukiwafuatilia kwa undani hata mbele nyuma hawajijui wapo tu. Hawana pesa wala nini wote ni shida. Good man , gentlemen nilazima mtu awe anapesa, source of investment. Halafu ndio aringe sasa unapanga halafu bado wewe unapambania bidhaa ya mwanaume...
  8. Wadada mliowahi kudate na wakaka wakimasai wanaouza dawa za kuongeza ukubwa wa dushe njooni mnijibu maswali haya

    1.Huwa ni kweli kuwa wanamitanange mizito na minene? Maana wakiwa wanauza dawa zao huwa wanasema zinaongeza ukubwa wa dushe. 2.Kimapenzi wanarizisha? 3. Hawaumizi mpaka inakuwa kero?
  9. M

    Wababa/wakaka tusitelekeze watoto so sad

    Naomba Unipostie Nimechanganyikiwa vibaya mnooo Nilihama Mkoa kikazi Hivyo Nikaingia Kwenye Mahusiano Na Mwanaume Mmoja hivi Aliniambia anatoka mkoa naotoka Lakini yeye Amekaa huku dar Toka mdogo Sana Pindi tu mama yake alipoachana na baba yake.. Naomba Mnielewe Hivi viatu so size Yangu. Basi...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…