Vijana wa chadema walipokwenda Rufiji Mkuu wa wilaya alijibu kimzaa kwamba tatizo siyo kubwa. Waliposema wataanza kurusha picha za hali ilivyo serikali imeshtuka imepeleka mawazri na watendaji wengine wengi.
Serikali inachokosa ni TUME YA KUKABILIANA NA MAJANGA; Duniani kote walipofanikiwa...
Dah ukisikia maajabu basi ndio haya, nimekuwa najiuliza kwanini watu Wakiona kivuko lazima wakikimbilie Kama vile wameona pepo?
Utashangaa watu Wanakimbia Kama vile wame sikia dunia Imefika mwisho, sio wanaume au Wanawake wote ni majanga tu.
Yaani una eza dhania ni game so Kuna mtu anawaendesha?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.