wakimbie

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    Tanzania hakuna tume ya kukabiliana na maafa, matokeo yake hakuna uwajibikaji. Waziri Mkuu Simamia sheria ya maafa uunde timu husika mapema

    Vijana wa chadema walipokwenda Rufiji Mkuu wa wilaya alijibu kimzaa kwamba tatizo siyo kubwa. Waliposema wataanza kurusha picha za hali ilivyo serikali imeshtuka imepeleka mawazri na watendaji wengine wengi. Serikali inachokosa ni TUME YA KUKABILIANA NA MAJANGA; Duniani kote walipofanikiwa...
  2. Intelligent businessman

    Hivi kwa nini watu wakiona kivuko lazima wakikimbilie?

    Dah ukisikia maajabu basi ndio haya, nimekuwa najiuliza kwanini watu Wakiona kivuko lazima wakikimbilie Kama vile wameona pepo? Utashangaa watu Wanakimbia Kama vile wame sikia dunia Imefika mwisho, sio wanaume au Wanawake wote ni majanga tu. Yaani una eza dhania ni game so Kuna mtu anawaendesha?
Back
Top Bottom