Wakili Fatma Karume ameweka wazi mtazamo wake kuhusu kitendo cha baadhi ya Wabunge kugalagala chini kwenye vumbi kumshukuru Rais kwa kupeleka fedha katika maeneo yao. Akizungumza katika mahojiano na The Chanzo, Karume alisema kuwa kitendo hicho ni cha kujidhalilisha na hakifai.
Pia, Soma:
+...