Watu wengi siku hizi wanaishi Kwa presha sana,hii ni kutokana na kuiga mafanikio ya wengine,
Kama vile,Nyumba nzuri,biashara,usafiri wa uhakika na uwezo wa vitu vingi.
Hii inasababisha kufanya mambo Kwa kufuata majira ya mwaka.
Utasikia nataka ifikapo mwakani niwe na hiki au nimefanya...