Habari za Usiku Wana Jamiiforums leo nmekutana na huu Uzi nikaamua niwasogeze wadau ✍👇
Sababu tano za kwanini huenda EX wako anakusimbua. (FOR MEN)
1. Sasa yeye ni mama wa mtoto.
2. Ametumiwa na wanaume kadhaa, na hakuna hata mmoja aliyemjali.
3. Kizazi chake kimeharibiwa, anatafuta mwanaume...