wakopeshaji wa mtandaoni

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    BoT Inawatambua Wakopeshaji wa Mitandaoni Wanne Pekee!

    Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imesema kati ya maombi 16 ya ‘aplikesheni’ yaliyopokelewa kwa ajili ya kutoa mikopo mtandaoni, manne pekee ndiyo yamekidhi vigezo na kupewa leseni za kukopesha, huku aplikesheni 55 zikikabidhiwa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ili ziondolewe mtandaoni. Meneja...
  2. Wakusoma 12

    Serikali yashindwa kuchukua hatua dhidi ya wakopeshaji wa Mtandaoni? Utafiti: mmoja Kati ya Watu 200 wanaodhalilishwa hujiua

    Kwa ufupi ni mambo ya hovyo sana, watu wanaweza kuchukua taarifa zako na kuzisambaza mtandaoni!. Watu wanasema dawa ya deni kulipa ila si kwa kudhalilishana pale mtu anaposhindwa kulipa. Ndugu yangu amefadhaika sana baada ya kampuni moja ya mtandaoni kumsambazia jumbe za kumdhalilisha. Kweli...
  3. ChoiceVariable

    KERO Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi Iwashughulikie Wakopeshaji wa Mtandaoni Wanaodhalilisha Wateja Wao Kwa Kusambaza Taarifa Binafsi Kwa Wasiohusika

    Jana mheshimiwa Rais Samia amezindua rasmi Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi ambayo Ina majukumu ya Kulinda na kutunza faragha za watu. Sasa Kuna mtindo umezuka ambapo Online Creditors Wamekuwa wanasambaza taarifa binafsi za Wateja Wao Kwa watu mbalimbali ambao Huwa wanawasiliana Kwa kuwapigia...
Back
Top Bottom