Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu Tanzania (LHRC) na Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) nakwa pamoja wamelaani vikali tukio la lililotokea Wilayani Muleba mkoani Kagera la utekwaji na mauaji ya kikatili ya mtoto mwenye ualibino Asimwe Novath.
Kufuatia tukio hilo wadau...