Wasalaam wana JF,
Niende moja kwa moja kwenye mada, suala la walimu kama wametengwa ni jambo la kusikitisha sana. Bahati mbaya watu wameamua kwa makusudi kuwakejeli na kuwaona ni daraja la mwisho katika utumishi wa umma.
Kwa wale waliosoma shule miaka ya 2000 kurudi nyuma tunaelewa, walimu...
Mwalimu Kisogi wa shule ya Sekondari Mwilibona awapiga wanafunzi wake 2 na kuvimba mikono na damu kumwagika kisa wamechelewa kufika shule.
Wanafunzi wao wamesema walikuwa wanakwenda kusaini ofisini kwake kwa sababu walikuwa wanakosa shule. Kwahiyo walitakiwa kila siku wasaini saa moja na nusu...
Maneno ya utangulizi katika Mpango Kazi Wa Taifa Wa Kutokomeza Ukatili Dhidi Ya Wanawake Na Watoto (MTAKUWWA), una maneno ya kuazimia kufanya Watoto wote wakue bila kukumbana na ukatili wa aina yoyote. Na kimsingi wameweka kuwa ukatili unaingarimu Tanzania takriban dola za kimarekani bilioni 7.1...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.