walimu kutozwa michango ya mwenge

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    DOKEZO Mwenge umekuwa mwiba mkali kwa Walimu Wakuu Halmashauri ya Momba. Wanalazimishwa kutoa mchango kwa vitisho

    1. Mwalimu Mkuu asipotoa mchango wowote anatishiwa kuvuliwa madaraka au kunyanyaswa kwa jambo lolote lile. 2. DEO wa Halmashauri hii ni mtu wa kuwatishia tu walimu na kuwalazimisha kutoa michango bila utaratibu. 3. Posho ya Mwalimu mkuu imekuwa kama fimbo ya kuwachapia hao walimu wakuu na...
Back
Top Bottom