walimu wasio na ajira

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Pre GE2025 Hatima ya Walimu Wasio na Ajira (NETO) kujulikana baada ya siku 45, wapongeza 4R za Rais Samia

    Wakuu Mawaziri George Simbachawene (Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu) na Prof. Adolf Mkenda (Elimu, Sayansi na Teknolojia) wamekutana na viongozi wa Chama cha Walimu Wasio na Ajira (NETO) kujadili hatua za kutatua changamoto ya ajira kwa walimu. == Mwenyekiti wa...
  2. Pre GE2025 Simbachawene akutana na Walimu Wasio na Ajira, aelekekeza Kamati iundwe

    SIMBACHAWENE NA MKENDA WAKUTANA NA VIONGOZI WA NETO Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene amesema Serikali itaunda timu ya wataalam itakayojuisha Wizara tano (5) ili kuchambua Makala ya “Non-Employed Teachers Organisation-NETO)”...
  3. Mawaziri Simbachawene, Mkenda Wakutana na Viongozi wa Walimu Wasio na Ajira NETO

    SIMBACHAWENE NA MKENDA WAKUTANA NA VIONGOZI WA NETO Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene amesema Serikali itaunda timu ya wataalam itakayojuisha Wizara tano (5) ili kuchambua Makala ya “Non-Employed Teachers Organisation-NETO)”...
  4. Mawaziri Simbachawene, Mkenda wakutana na Viongozi Walimu wasio na Ajira (NETO), wasema 4R za Rais Samia zimewawezesha kukutana na Serikali

    Wakuu Mawaziri George Simbachawene (Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu) na Prof. Adolf Mkenda (Elimu, Sayansi na Teknolojia) wamekutana na viongozi wa Chama cha Walimu Wasio na Ajira (NETO) kujadili hatua za kutatua changamoto ya ajira kwa walimu. == Mwenyekiti wa...
  5. Walimu wasio na ajira; ushauri kwa Serikali

    WAKUU, AMANI NA IWE NANYI. Ni lengo la sera ya elimu ya mwaka 1995 na 2014 kuwa na Mtanzania aliyeelimika, mwenye maarifa, stadi na mtazamo chanya katika kuchangia maendeleo endelevu ya Taifa la Tanzania. Nikiri tu kwamba, Serikali imefanikiwa kuwaelimisha kwa kuwapa maarifa na stadi walimu...
  6. Walimu Wasio Na Ajira (NETO)mkipewa mkopo nafuu na serikali mfungue mradi wa shule mtakubali?

    Najiuliza kama hawa wakipewa mkopo au kudhaminiwa Benki wapate mkopo wafungue shule binafsi, na mkopo uwe na suspended interest. Wanajiunga vikundi vikundi tu, wa kufungua nursery haya, primary hayaaa, secondary hayaaa. Japo usimamizi wa serikali uwepo ili fedha isipotee. Ila biashara za...
  7. T

    Pre GE2025 Askofu Bagonza ataka walimu wasio na ajira (NETO) wasikilizwe na siyo kukamatwa na kutishwa

    Askofu wa Kanisa la KKKT Dayosisi ya Karagwe, Askofu Benson Bagonza achukizwa na kamata kamatwa inayofanywa na Jeshi la Polisi kwa Viongozi wa Walimu wasio na ajira ambao wamejitokeza kuikumbusha Serikali juu ya hatma yao ya haki ya kupata ajira ambayo wameisubiri kwa muda mrefu tangu walipo...
  8. Serikali mna jukumu la kuwasaidia hao Vijana wa NETO na Watanzania wote na sio kuwaletea ukorofi. Tusiwe kama Watu wasio na AKILI tusiojali

    SERIKALI MNAJUKUMU LA KUWASAIDIA HAO VIJANA WA NETO NA WATANZANIA WOTE NA SIO KUWALETEA UKOROFI. TUSIWE KAMA WATU WASIO NA AKILI TUSIOJALI. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Vijana Wasomi wote wanahaki zote kuitaka serikali iwaajiri. Hao NETO ni sehemu ya vijana hao. Achana na kina Siye kina...
  9. Katibu Umoja wa Walimu wasio na Ajira (NETO) Daniel Mkinga, amedaiwa kukamatwa na Jeshi la Polisi

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Walimu Wasio na Ajira Tanzania (NETO), Daniel Edigar Mkinga, amedaiwa kukamatwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani akiwa nyumbani kwake Kibaha, Miembe Saba majira ya saa tatu kasoro usiku wa siku ya Jumanne Februari 25, 2025. Kwa mujibu wa taarifa alizotoa mke wake, Mkinga...
  10. Baada ya Mwenyekiti, Katibu wa Jumuiya wa Walimu Wasio Na Ajira (NETO) naye adaiwa kukamatwa na Jeshi La Polisi usiku huu

    Wakuu, Baada ya jana kukamatwa kwa Mwenyekiti wa NETO, leo zimeibuka taarifa kwamba Katibu wa Jumuiua hiyo amekamtwa na Jeshi La Polisi. Kupitia mtandao wa X, NETO waliandika kwamba: Katibu NETO Bw. Daniel Edger Mkinga amekamatiwa Kibaha Miembe Saba nyumbani kwake majira ya usiku wa saa tatu...
  11. ACT Wazalendo: Serikali imuachie huru Mwenyekiti wa Chama cha Walimu Wasio na Ajira, Joseph Kaheza

  12. M

    Umoja wa walimu wasio na ajira NETO unaweza kuleta mbadiliko ya kweli Tanzania, tunabidi kuwaunga mkono

    Nimefatilia hawa jamaa wanajiita NETO nimejifunza mambo yafuatayo. These guys are very smart and visionary. Kuna hoja tatu nimeziona. - Kuondoa swala la walimu kujitolea. - Suala la kuhakikisha Serikali inazingatia vipimo sahihi Vya usaili. - Kusitisha utolewaji wa course ya Education...
  13. Katika maisha yangu sikuwahi kutegemea kuna kitu kitaanzishwa na chama cha walimu wasio na ajira

    Sikutegemea ipo siku kuna chama kitaanzishwa na walimu waliokosa ajira Basi nakiri kusema kuwa tupo katika unemployment crisis. Kuna wakati waalimu hawakubaki mtaani kwa maana walikuwa on demand. Kwa wewe graduate, kama baba yako ni apeche alolo, sura ngumu kama mimi, hauna connection tafuta...
  14. SI KWELI Tundulisu kawadhikaki walimu ambao hawana ajira

    Nimekutana na taarifa chanzo Millard ayo inayo sema mheshimiwa Tundulisu kawadhikaki walimu ambao hawana ajira 👇👇👇 Je ni kweli?
  15. T

    Walimu wasio na ajira (NETO) wasema Walimu wenye degree kulipwa 150,000 siyo haki

    Umoja wa Walimu wasio na ajira nchini Tanzania (NETO), umemuomba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Samia Suluhu Hassan na Serikali, kuwasaidia Walimu hao kupata ajira na kuweka usimamizi madhubuti pamoja na kufuta mfumo wa usaili katika mchakato wa kutoa ajira. Uongozi wa Umoja huo...
  16. Walimu wasio na Ajira (NETO) waishauri Serikali isitishe uzalishaji wa Walimu Vyuoni

    Daniel Edigar Mkinga, Katibu NETO "Viongozi wetu wa Serikali, kutokana na uhalisia wa wahitimu na changamoto zinazoonekana katika zoezi la usaili kwa kada ya ualimu, tunapendekeza yafuatayo yafanyiwe kazi. "Pendekezo la kwanza, kusitisha usaili mara moja kwa kada ya ualimu na kutumia utaratibu...
  17. Walimu wasio na Ajira (NETO) waibua mazito yanayofanyika kwenye vituo vya usaili. Wataja rushwa na kukosa usawa

    Umoja wa Waalimu Wasio na Ajira (NETO) wamefunguka sintofahamu ya ajira iliyopo kwa wahitimu kuanzia mwaka 2015 mpaka 2023. Soma: Walimu Wasio na Ajira (NETO) wanaongea na waandishi wa habari kuondoa dukuduku lao Kwa upande wa masuala ya usaili wamedai "kumekuwa na changamoto nyingi ambazo...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…