walimu wasiyo na ajira

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Cute Wife

    Pre GE2025 NETO ilikuwa mkakati wa uchaguzi kupata kura za walimu na kuongeza imani ya CCM iliyoporomoka?

    Wakuu, NETO walikuja na moto baada ya kuicharukia serikali kuhusu ajira za walimu na suala zima la wao kufanyiwa usaili. Jambo hili lilipokelewa vibaya na serikali ambako viongozi wao wa juu walikamatwa wakisema wanaendesha jumuiya ambayo haijasaliwa. Waziri Simbachewene akajitokeza akasema...
  2. M

    Mwenyekiti wa Walimu Wasio Na Ajira (NETO) Joseph Paulo anadaiwa kukamatwa na polisi mkoani Geita

    Mwenyekiti wetu wa NETO Joseph Paulo Kaheza amekamatwa na police mkoani Geita. Tumethibitisha hizi taarifa kutoka kwa mjomba wake ambaye alifika katika kituo hicho cha Central Geita Mjini na kutaka kumwekea dhamana kitu ambacho kilishindikana. Soma Pia: Umoja wa Walimu Wasio Na Ajira (NETO)...
  3. EricMan

    DOKEZO Walimu Wasio na Ajira (NETO) wanaongea na waandishi wa habari kuondoa dukuduku lao

    https://www.youtube.com/live/0EcQvO6owwc?si=C3wENbOFWYVOz-Cp "Umoja wa Waalimu Wasio na Ajira (NETO) ulianza na Wanachama (wajumbe) 15 kupitia makundi ya WhatsApp. Tulianzisha NETO kwasababu ya sintofahamu ya ajira iliyopo kwa wahitimu kuanzia mwaka 2015 mpaka 2023." "Masuala ya usaili...
Back
Top Bottom