Walimu wamekua waaminifu Kwa serikali awamu zote,kila mwaka impact yake inaonekana Kwa matokeo mazuri yanayowabeba wanasiasa majukwaani kisiasa hasa Rais na waziri wa elim,Motisha ya kuwapeleka Dubai ni kebehi na dhihaka Kwa mwalimu kwasababu Haina tija kwa mwalim Wala motisha kwake.
Dkt...