waliochaguliwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. H

    Tamisemi watatoa lini majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano 2022/2023?

    Husika na kichwa cha uzi hapo juu, nataka kujua ni lini watatoa hizo selection, maana nimesikia watoto wanaanza masomo mwezi June.
  2. R

    NACTE admission za vyuo vya Afya 2021/2022 toeni majina ya waliochaguliwa

    Time is running very fast, we need to know the fate of our applicants. Tafadhali toeni majina watoto wajiandae pamoja na wazazi mambo ya ada na gharama zingine.
  3. A

    Waliochaguliwa course ya Bsc.Environmental science and management,,,chuo chochote usiache kupita hapa karibu nkueleweshe

    Wale wote mliochaguliwa Bsc.ESM chuo chochote karibuni kwa maswali yoyote ,,,pia wadau ambao mpo karibuni tuwashauri vijana
  4. H

    Majina ya waliochaguliwa Vyuo vya Afya yashatangazwa?

    Eti wameshatangaza waliochaguliwa vyuo vya afya au bado maana walisema wanatangaza 22/8 nao mpka sasa hivi sijasikia kitu. Naombeni msaada hapo
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…