walioitwa kazini

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. AbuuMaryam

    Majina yangu matatu kamili yametoka katika walioitwa kazini na sikuomba, hii imekaaje?

    Inawezekana kuna mtu majina yake yote yanafanana na yangu? Inawezekana nikienda kuchukua barua DODOMA, nikipewa italeta shida gani?
  2. Ze Heby

    Majina ya Walioitwa kazini - TMDA

    Wanajamvi, Hayawi hayawi sasa yamekua. Naona TAMISEMI na DAs wengine wameanza kuachia mikeka. Leo ni zamu ya Dar Es Salaam. Hongereni sana kwa mliopata. Wengine tuendelee kusubiri. NOTE: Ikitokea nafasi omba. Unaweza omba Songea ukaibukia TMDA
Back
Top Bottom