waliooa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Hii ni kwa Wanaume ambao hawajaoa

    Habari... Nyie Wanaume ambao hamjaoa uwe umepanga au unaishi kwenu hasa wenye umri kuanzia 30-47 tabia ya kuwatembele marafiki zenu waliooa bila taarifa huku mmevaa pajama mnamuonesha shemeji yenu hayo mapaja iliiweje? Halafu mchana kutwa mnakuwa wapi hadi mnasubiri kagiza kaingie ndo...
  2. C

    Swali kwa waliooa tu: Mlipataje wanawake wa kuoa?

    Hbr wana JF, Mwaka jana nilipata binti mmoja ambae tulifahamiana kwa muda kidogo tukaanza mahusiano. Nilimpenda sana, nikajitahidi kumtimizia kila analohitaji. Nilijifunza kwenye mahusiano yangu ya awali, nikasema huyu nifanye tofauti sasa na mimi niwe na familia. Mwanzo mapenzi yalikua...
  3. Kwa walioa tu: Hakikisha kila siku unaipiga sana, inasaidia sana kuweka akili sawa

    Hakikisha kila siku unaipiga sana. Inasaidia sana kuweka akili sawa. Sio unakuja kazini umekunja ndita. Makasiriko kazini hatutaki. Behave & fulfill your kuipiga responsibility. Wazee wetu walioipiga sana waliishi umri mrefu. Mada hii haiwahusu mabachala hasa wale timu kataa ndoa. Uzi au...
  4. HIVI WANAUME WOTE WALIOOA WANAKUTANA NA HAYA MASWAHIBU AU NI BAADHI YA WANAUME HUKO KWENYE NDOA ZENU?

    Bila shaka mko poa wana jukwaa na wale mabingwa wanaendaelea kusherekea ubingwa wao.HALAA MADRID. Moja kwa moya kwenye mada, wakuu nina rafiki angu kaoa mwana mke kahitimu chuo huko daslam miaka mitatu iliopita nadhani ni diploma ya uwalimu ila bado hajeajiriwa sasa huyu mwanamke nifull jeuri...
  5. Kwa waliooa tu, jambo gani au kazi za nyumbani,zinakupa shida pindi mkeo anapokuwa amesafiri na umebaki mwenyewe nyumbani mpaka zinafanya umkumbuke

    Habari, wajf. Kichwa habari kinaeleza. 1. Mimi kuosha vyombo. Hili tu. Wewe je ni jambo gani Hilo mpaka linafanya umkumbuke Mkeo sio mchepuko hapa nazungumzia WIFE MATERIAL. Tiririka
  6. Nitafunga na kuwaombea wenzetu waliooa wanawake wafuatao

    Tayari nimeshafanya maamuzi. Lazima nifanye maombi maalum kwa wenzetu waliooa wanawake kutoka kwenye makundi yafuatayo; 1. Wanawake ambao ni makada kindakindaki wa vyama vya siasa hasa CCM na CHADEMA. Ambao hawapitwi na matukio ya chama ya ndani na nje ya mkoa wake. 2. Wanawake wote wenye...
  7. Wanaume msiowatunza mama zenu hii niaibu kabisa

    Wadau wangu leo naongea nawaheshimiwa fulani wanaojidai wamezaliwa na wamama wakwe na wake zao. Iwafikie woteee ambao hawajawatumia mama zao pesa za matumizi tokea wawe nafamilia iwafikie wakaka wote ambao hawawatumii mama zao hela ya matumizi. Tumeenda leo kidogo kuwasalimu watoto na wazee...
  8. Wife anataka kunigeuza sex machine

    Oya, hivi kwa week inatakiwa kugegedana mara ngapi coz naona wife anataka kunifanya kuwa sex machine yake? Yaani kila akigeuka tu anataka mpini hajui kuwa me nakuwa nimechoka sometimes. Nifanyaje ili kumpunguza speed?
  9. Mke wangu hatimizi majukumu yake ya nyumbani ipasavyo

    Heshima kwenu ndugu zangu. Jambo likikukuta mshirikishe mwingine mwenye uzoefu, na mficha maradhi kifo humuumbua. Naamini humu wapo wengi wenye ndoa na wazoefu wa changamoto mbali mbali, Nimekaa nikatafakari sana nikaona bora nilete huku jambo langu hili ili nipate mawazo mapya. Nimekuwa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…