walokole kumchapa viboko shetani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. DeepPond

    Kwanini Walokole wanaamini Kila gumu wanalopitia ushirikina umehusika?

    Sijaelewa imekaaje hii wakuu, Yaani Mlokole akikaa dukani kwake asipouza TU au akiuza kimahesabu akawa anapata hasara. Moja Kwa Moja, Anaamini ushirikina unahusika, Hata Kama Misingi ya biashara yake unaona kabisa haifuati. Utashangaa kaleta chumvi na maji ya upako ananyunyizia kwenye fremu...
  2. Magical power

    Walokole wanapenda sana kuwapima watu hekima zao kwa ujinga

    WALOKOLE WAPUMBAVU WANAPENDA SANA KUWAPIMA WATU HEKIMA ZAO KWA UJINGA Kuna walokole WAGALATIA fulani na wengine WAJINGA fulani hivi wakati ukiview hata profile zao unawatazama unaona ukiwajibu kwa jeuri za kisukuma na kiimani kama aliyokuwa nayo MUSA mbele ya Farao unaweza kuwavua nguo. Huo...
  3. W

    Kuna utofauti gani kati ya waislam wanosafiri kwenda Uarabuni kurusha mawe na walokole wanaotumia viboko wakiamini mlengwa ni shetani?

    Hawa ni waislam, kwa hapa kwetu husafiri umbali wa kilometa elf 6 kwenda huko Saudia kuupiga mawe mnara wakiamini ni shekhtani Wakristo nao madhehebu ya walokole wanapangwa na mchungaji wao wachume viboko vya mpera, mpapai, n.k. wanaanza kuitia bakora sakafu
Back
Top Bottom