waluguru

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Informer

    Wapogoro na Waluguru, ni kweli hawajui pa kuweka space kwenye SMS?

    Nina jamaa zangu wa makabila haya kwakweli kusoma chats zao huwa ni mateso sana. Wenzangu mmewahi kumbana na hili? Unaweza weka screenshot bila kuonesha namba au jina la mhusika.
  2. Superbug

    Barabara ya Bigwa - Kisaki Serikali mnawachukuliaje hawa Waluguru wa Morogoro Kusini? Babu Tale na Kalogeresi waachieni majimbo CHADEMA nyie hamtoshi

    Hii barabara ya Bigwa - Kisaki serikali inaonesha dharau ya wazi kwa watu wa huku. Imagine magari yanasafiri kilomita 80 Moro -Mvuha kwa siku tatu. Halafu bila aibu CCM watakuja kuomba tena kura.
  3. Superbug

    Mila za Kabila la Waluguru zina kasoro, chukua tahadhari kabla hujaoa huko

    1. Mwanamke ndio mwenye nguvu watoto ni wa mama na watoto wanawaheshimu wajomba sio wewe baba. 2. Mwanamke wa kiluguru ukimuoa kila mwaka lazima arudi kwao kucheza ngoma na huko lazima akutane na ma X wake agegedwe. 3. Waluguru wanapenda kuishi pamoja ukoo mzima yale maisha ya kijima ya zama...
  4. HERY HERNHO

    Kabila la Waluguru na asili yao kutoka Ufilipino

    Asili ya neno Morogoro ni Mluguru ili kujua zaidi twende pamoja. KAMA utairejea historia ya Morogoro ya miaka ya kati ya 1870 hadi 1888, kipindi ambacho Sultan wa Zanzibar alikuwa Sayyed Barghash, uitagundua kuwa kwenye safu ya Milima ya Uluguru na pembezoni mwake kulikuwa chini ya Machifu wa...
  5. Pang Fung Mi

    Hivi kuna wanawake wa makabila mengine wanaowazidi waluguru na wazigua kuomba hela kwenye mapenzi?

    Hehehehee yaani nimekoma nimekomesheka, pamoja na ulevi wangu wa mauno, kuna umuhimu wa kujiuzuru haraka kwenye penzi la mluguru na Mzigua , sijui wana kibubu cha mufilisi kupitia mapenzi, kama jini hilo ni jini kipepeo kila dakika beby, mume, nikwambie kitu, mara sijui mara sijui shughuli a, b...
  6. Superbug

    Waluguru wanafukia ufuo wa maiti chumbani

    Leo nimehudhuria msiba wa waluguru nimeona mambo ya kushangaza naomba mnisaidie maelezo. Mtu amefia nyumbani kwake tena chumbani kwake anapolala na mke wake. Sasa kwakuwa marehemu ni muislam wameamua kupitia mila ya waluguru kumuosha mwili wake mulemule chumbani. Kilichotokea wamechimba shimo...
  7. OLS

    Maana ya maneno ya waluguru wanapomaliza kuzika

    Kwa sasa hata kwa baadhi ya matambiko ya kiluguru kuna maneno ya kiluguru utayasikia yanasemwa, haya maana sana ila yanaonesha hali ilivyokuwa kipindi hiko. Kagone vigonele fungo Munu mkulu kagona kikunza Kwekuka wayago tokuja Hayo maneno utayasikia kwenye matambiko, siku za hivi karibuni...
  8. OLS

    Ijue tofauti ya Waluguru na Wakaguru kimaana

    Nene msukulu wa Mbago, Bwana Mkoba au Mfuko Nawasalimu. Nitatumia siku tano, kuelezea baadhi ya Mazingira ya watu wa Morogoro kila siku ikiwa na mada tofauti. Lakini leo naanza na nadharia ambayo si ngeni kwa watu wengi waliomo humu. Naam, kuhusu kabila la Waluguru. Imetajwa kuwa waluguru...
  9. and 300

    Wanaume wa kiluguru tunadharaulika sana

    Imekuwa sasa desturi kwa jamii kwa ujumla hasa wanawake wa Kanda ya Kaskazini (Kilimanjaro, Manyara na Arusha) kuonyesha dharau za waziwazi kwa sisi Waluguru eti kisa kimo/height yetu kwa taarifa tu sisi Waluguru ni watu wenye mapenzi ya dhati na ni watundu sana kitandani hakika ukipata mluguru...
  10. B

    Lijue Kabila la Waluguru na utamaduni wao

    Asili: asili ya waluguru husemekana kuwa imetokana na watu kutoka maeneo ya chini(low land) kuhamia katika mlima kwasababu mbalimbali kwa mfano mapigano ya wenyewe kwa wenyewe na njaa na pia kukwepa utumwa wakati wa enzi za utumwa , mfano kuna mapokeo miongoni mwetu kuwa waluguru walikuwa...
Back
Top Bottom