wamasai na ngorongoro

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Msanii

    Je, maagizo ya Rais Samia kuhusu Ngorongoro yanatengua amri rasmi iliyochapishwa au ni maigizo?

    Siku tano zikizopita Rais wa Tsnzania alituma wasaidizi wake ambao ni Prof. Kabudi na William Lukuvi kwenda kusawazisha mambo kule Ngorongoro. Aliagiza kurejeshwa kwa huduma zote za kibinadamu hususan haki ya kupiga kura, afya na elimu vitu ambavyo vilikuwa vimesitishwa chini ya mtutu wa...
  2. Pascal Mayalla

    Pongezi TLS Kumpongeza Rais Samia kwa Hatua Alizochukua Ngorongoro, TLS Imeonyesha Professionalism na Sio Unaharakati! Big Up Rais wa TLS

    Wanabodi, Nikiwa member wa TLS, nimefarijika na taarifa hii ya TLS. Tunaipongeza Serikali kwa kuchukua hatua za awali kwa kutuma mawaziri waandamizi na kuzungumza na wananchi pamoja na tamko lake kupitia maelezo ya Mawaziri husika la kurejeshwa kwa huduma za kijamii zilizositishwa katika eneo...
  3. GoldDhahabu

    Pre GE2025 Dr. Sulle akabidhiwe Wizara ya Mambo ya Ndani

    Kwamba, kwa kuwa Dr. Sulle kagundua kuwa Wamasai walioandamana Ngorongoro si Watanzania bali ni Wakenya wenye nia mbaya dhidi ya Tanganyika, inaonesha ya kwamba yeye yupo makini zaidi kuzidi vyombo vyetu vya dola. Kama ndivyo, ni vizuri akakabidhiwa Wizara ya Mambo ya Ndani pamoja na ukuu wa...
  4. Mkunazi Njiwa

    Wambulu na Wadatooga ndio wakazi wa mwanzo wa Ngororongo. Kadhia ya Ngorongoro haihitaji hisia

    Wakazi wa kimaasai walilivamia hilo eneo la KRETA na kuwafukuza wakazi wake ambao ni WAMBULU na WADATOOGA. Kadhia ya Ngorongoro haihitaji HISIA bali utulivu wa FIKRA TUNDUIZI. Ndugu zetu wamaasai hawakuwa wa kwanza kuishi hapo katika ardhi tukufu ya nabii Adam(AS). Makabila mengi yalipita...
  5. Ojuolegbha

    Msomera pamenoga, Wamasai waendelea kuishukuru Serikali

    MSOMERA PAMENOGA, WAMASAI WAENDELEA KUISHUKURU SERIKALI Jamii ya wamasai waliohama Ngorongoro wafurahia Maisha ya Msomera. Wakazi waliohama kwa hiari yao kutoka katika eneo la Hifadhi ya Ngorongoro kuhamia kijiji cha Msomera, Handeni mkoani Tanga wanaendelea na shughuli zao za kawaida ikiwemo...
  6. B

    Wamasai na Ngorongoro: Siasa ya Maendeleo ya Vitu au ya Watu?

    Asalam, pamoja na kuamua kuweka bandiko hili, lakini nimeshuhudia uchache ama kupotea kwa haraka bandiko lolote lenye neo "masai". Lkn huenda hili likabaki. Ngongoro kama zilivyohifadhi nyingine Tz imekuwepo kwa miaka mingi japo ina utofauti na nyingine. Pale wanyama mwitu, wanyama wa kufugwa...
  7. JanguKamaJangu

    Mgogoro Hifadhi ya Ngorongoro kuna siri nzito. Nani wapo nyuma ya Wamasai?

    Mgogoro wa Hifadhi ya Ngorongoro kuhusu wakazi wanaoishi ndani ya eneo hilo umekuwepo kwa miaka mingi, kwa muda wote huo hakuna utatuzi rasmi wa nini kinatakiwa kifanyike. Juzikati baada ya bwana Maulidi Kitenge na wenzake kutembelea hifadhi hiyo, alitoa ushauri wa Serikali kufanya mpango wa...
Back
Top Bottom