wamasai ngorongoro

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. J

    Kiongozi wa maandamano ya Ngorongoro ni nani? Polisi na Intelijensia hawakuona viashiria?

    Kiongozi wa haya maandamano ni nani? Polisi na Intelijensia walishindwa vipi kuyazuia kabla hayajaanza? Kama wameshindwa kugundua maandamano makubwa kama haya, tuna uhakika gani na taarifa za kiintelijensia wanazodai kuwa wanazo?
  2. Madwari Madwari

    UMUHIMU WA WAMASAI NGORONGORO NA SERENGETI

    Hii video inamuonyesha mztaliii Ari Smith kutoka marekani akijifunza utamaduni wa wamasai akiwa akatika hifadhi zetu. Utalii wa vitu pekee hautoshi, unahitajika pia utalii wa utamaduni. Morroco ni nchi ambayo inapokea watalii wengi hawana mbuga lakini wanavutiwa na utamaduni wao...
  3. R

    Issue si kusitisha zoezi la kuwahamisha wamasai Ngorongoro, Issue ni je motive behind kuwahamisha ameisitisha?

    Kama motive behind kuwahamisha wamasai hajaisema wazi na kusema ameisitisha once and for all, hizi zote zitakuwa drama! Ulaghai! Thinking wide, kama ameshapokea fedha na kusaini mikataba ya kimataifa na hao anaotaka kuwaweka Ngorongoro, je fate ya nchi yetu ni ipi kusitisha mikataba hiyo. For...
  4. The Khoisan

    Hivi ni kwanini Serikali ya Mama Samia inatumia nguvu kubwa kuwaondoa Wamasai Ngorongoro?

    Hii issue ya Wamasai kuhamishwa kutoka kwenye makazi yao ya asili imepamba moto kwenye hii awamu. Mkoloni mwenyewe hakuwahi hata kuattempt kufanya hivyo na serikali za awamu zilizopita pia hazikujaribu kuwaondoa. Cha kushangaza awamu hii wanajaribu kwa kila mbinu na hali kuhakikisha kuwa...
  5. THE BIG SHOW

    CHADEMA mnaendelea kupotosha kuhusu suala la Ngorongoro, ila mtafeli kama mlivyofeli la bandari

    Friends and Our Enemies, Jana nimemsikiliza Godbless Lema,Kada na Mbunge za zamani wa jimbo la Arusha akiendelea na siasa zake za upotoshaji na kuganga njaa kuhusu suala la wamasai na kinachoendelea ngorongoro. Lema anasema kwamba,Serikali inakosa mantiki katika kuwaondoa wamasai huku...
  6. TheForgotten Genious

    “Indigenous Peoples” ndio wenye haki ya kuamua wanataka nini kimaendeleo

    Serikali inapambana kuwahamisha wa Maasai Ngorongoro pasipo sababu za msingi pasipo kuangalia athari kuu, wamaasai na wa Handzabe si sawa na wana kizimkazi ni watu watofauti Kabisaaa. Hili suala la wa Maasai litaitia Tanzania katika matatizo makubwa kimataifa. Kama wenye...
  7. THE BIG SHOW

    Takribani miaka 50 iliyopita Mwalimu Nyerere alituusia kuzilinda hifadhi zetu kwa jasho na damu. Serikali inasimamia hilo

    Friends and Our Enemies, Kupitia kwa ARUSHA MANIFESTO miaka hamsini iliyopita,Rais wa kwanza wa nchi hii, Mwalimu J.K Nyerere alituusia na hapa chini nitaweka nukuu yake Over fifty years ago, the first President of Tanzania, the late Mwalimu Julius K. Nyerere recognized the integral part...
  8. Abdul Said Naumanga

    TLS Yatoa Tamko Kuhusu Maandamano ya Wananchi wa Ngorongoro, Yataka Haki Zao Ziheshimiwe

    Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kimetoa wito kwa Serikali kufuatia maandamano yaliyofanywa na mamia ya wananchi wa Ngorongoro tarehe 18 Agosti, 2024, wakidai kuheshimiwa kwa haki zao za kimsingi. Maandamano haya yalionyesha hisia kali kutoka kwa wananchi wanaopinga kuondolewa kwenye ardhi...
  9. Heparin

    Serikali yafuta vijiji na vitongoji vyote vya wamasai wa Ngorongoro kupitia Amri ya tangazo la Serikali namba 673

    AMRI YA MAREKEBISHO YA AMRI YA MGAWANYO WA MAENEO YA UTAWALA KATIKA SERIKALI ZA MITAA (MAMLAKA ZA WILAYA) YA MWAKA 2024 1. Amri hii itajulikana kama Amri ya Marekebisho ya Amri ya Mgawanyo wa Maeneo ya Utawala katika Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya) ya Mwaka 2024 na itasomwa pamoja na Amri...
  10. BLACK MOVEMENT

    Kule Kenya huwezi wahamisha Wamasai kule Amboseli au Masai Mara, Itatoke vita kuu. Ni Tanzania tu hii inawezekana

    Amboseli inamikikiwa na wamasai na wana hisa pale, the same na Masai Mara ambayo asilimia ya mapato inabakia kwa ajili ya wamasai wa Narok, Kuwahamisha pale ni labda kuazima Mabomu ya Nuclear kutoka Urusi na kuwaua wote wakiwa kwenye aridhi yao. Masai Mara ni nyumbani kwa Wamasai wa Kenya hio...
  11. LAZIMA NISEME

    Kwa nini serikali inawahamisha wananchi wanaoishi kwenye Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro?

    Kuwahamisha wananchi wa jamii ya Kimasai katika Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro ni suala lenye uzito wake kwa taifa linaloweka maslahi mapana ya utunzaji wa mazingira. Baadhi ya sababu ni kama ifuatavyo:- Uhifadhi wa Mazingira, Serikali inawahamisha wananchi kwa lengo la kuhifadhi mifumo ya...
  12. ngara23

    Hili sakata la Binti aliyebakwa na wahuni lisitufanye tupuuze taabu ya maelfu ya watu huko Ngorongoro

    Jana ilizuka taarifa za Masai wa Ngorongoro kuandamana kudai haki zao za kibinadamu kama haki ya kupiga kura, kupata huduma za kijamii kama shule, hospitals n.k. Ardhi ya Masai Ngorongoro ilichukuliwa na Serikali Kwa ajili uhifadhi lakini Kuna Mashaka sana juu wa watu hao. Leo limezuka suala...
  13. J

    CHADEMA na Wakenya wana maslahi gani kwenye vurugu zinazoendelea Ngorogoro?

    CHADEMA NA WAKENYA MNAMASLAHI GANI NA VURUGU ZA NGORONGORO? Wamasai wa Ngorongoro wamesikitishwa sana na vitendo vya CHADEMA Kuchochea vurugu Wilayani Ngorongoro Katika kata moja ya Enduleni, CHADEMA ni chama ambacho kimechochea mgogoro wa eneo letu takatifu la Ngorongoro. Tunalaani kwa nguvu...
  14. Suphian Juma

    Masai hawana ardhi, Rais Samia anawapenda

    Wamasai hawana ardhi yao, ardhi ni yetu sotekwa Sheria ya ardhi ya 1999. Aidha Rais Dkt. Samia aliwahamisha FAIRLY Ngorongoro hadi Tanga na kuwapa upendeleo kuliko kabila lolote; makazi, elimu, afya, malisho bure. Wanaowafunda Wamasai migogoro dawa yao inachemka. Tuelimishane... Kwanza...
  15. BLACK MOVEMENT

    Pre GE2025 Wamasai Ngorongoro wamechoka kunyang’anywa ardhi yao na kupewa Mwarabu, Wameamua liwalo na liwe

    Hii nchi Viongozi wa sasa hawana uchungu na hili Taifa na wako kwa ajili ya kuuza nchi kwa Wageni hasa Waraabu. Pia soma: Wamasai wa Ngorongoro watoa tamko kunyang'anywa haki ya kupiga kura 2024 na 2025 Wamasai wamechoka Aridhi yao kupewa Mwarabu. Waarabu kwa sasa wananeemeka na Ngorongoro...
  16. Cute Wife

    Pre GE2025 Polisi wazuia maandamano ya wamasai Ngorongoro kupinga kunyimwa haki ya kupiga kura

    Hali halisi ilivyo katika kata ya Enduleni Ngorongoro ambapo Jeshi la Polisi limefika kwa ajili ya kuzuia maandamano ya wananchi ambao wamefika mahali hapa kupinga uamuzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi wa kuwazuia wananchi wa tarafa ya Ngorongoro kupiga kura. Pia soma: Wamasai wa Ngorongoro...
  17. T

    Kutojua Makonda yuko wapi na Hali gani, Hatuna Vyombo vya habari vya Kiuchunguzi

    Tunakaribia wiki moja au zaidi baada ya tetesi za kutoonekana kwa Makonda. Hapa Mimi nimejifunza kwamba ndio maana viongozi huwa wanafanya ufisadi Mkubwa na hatujui, Sasa kama issue ya Makonda tu eti mpaka leo Media zinareport udaku udaku tu na tetesi. Silaumu lakini nakiri tu kwamba Tanzania...
  18. The Palm Beach

    Pre GE2025 Wamasai wa Ngorongoro watoa tamko kunyang'anywa haki ya kupiga kura 2024 na 2025

    Baada ya kuwasikiliza wakazi na viongozi hawa wa tarafa ya Ngorongoro, nimegundua yafuatayo: 1. Kuna agenda mbaya ya siri dhidi ya Wamasai hawa wa Ngorongoro inayofanywa na serikali ya CCM chini ya Rais Samia Suluhu Hassan. Wanaiuza ardhi ya Ngorongoro kwa waarabu? 2. Kumbe wakazi wa...
Back
Top Bottom