Siku tano zikizopita Rais wa Tsnzania alituma wasaidizi wake ambao ni Prof. Kabudi na William Lukuvi kwenda kusawazisha mambo kule Ngorongoro.
Aliagiza kurejeshwa kwa huduma zote za kibinadamu hususan haki ya kupiga kura, afya na elimu vitu ambavyo vilikuwa vimesitishwa chini ya mtutu wa...
Serikali inapambana kuwahamisha wa Maasai Ngorongoro pasipo sababu za msingi pasipo kuangalia athari kuu, wamaasai na wa Handzabe si sawa na wana kizimkazi ni watu watofauti Kabisaaa.
Hili suala la wa Maasai litaitia Tanzania katika matatizo makubwa kimataifa. Kama wenye...
Friends and Our Enemies,
Kupitia kwa ARUSHA MANIFESTO miaka hamsini iliyopita,Rais wa kwanza wa nchi hii, Mwalimu J.K Nyerere alituusia na hapa chini nitaweka nukuu yake
Over fifty years ago, the first President of Tanzania, the late Mwalimu Julius K. Nyerere recognized the integral part...
MSOMERA PAMENOGA, WAMASAI WAENDELEA KUISHUKURU SERIKALI
Jamii ya wamasai waliohama Ngorongoro wafurahia Maisha ya Msomera.
Wakazi waliohama kwa hiari yao kutoka katika eneo la Hifadhi ya Ngorongoro kuhamia kijiji cha Msomera, Handeni mkoani Tanga wanaendelea na shughuli zao za kawaida ikiwemo...
CHADEMA NA WAKENYA MNAMASLAHI GANI NA VURUGU ZA NGORONGORO?
Wamasai wa Ngorongoro wamesikitishwa sana na vitendo vya CHADEMA Kuchochea vurugu Wilayani Ngorongoro Katika kata moja ya Enduleni, CHADEMA ni chama ambacho kimechochea mgogoro wa eneo letu takatifu la Ngorongoro. Tunalaani kwa nguvu...
Wamasai hawana ardhi yao, ardhi ni yetu sotekwa Sheria ya ardhi ya 1999.
Aidha Rais Dkt. Samia aliwahamisha FAIRLY Ngorongoro hadi Tanga na kuwapa upendeleo kuliko kabila lolote; makazi, elimu, afya, malisho bure.
Wanaowafunda Wamasai migogoro dawa yao inachemka.
Tuelimishane...
Kwanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.