wamasai vs serikali

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Msanii

    Je, maagizo ya Rais Samia kuhusu Ngorongoro yanatengua amri rasmi iliyochapishwa au ni maigizo?

    Siku tano zikizopita Rais wa Tsnzania alituma wasaidizi wake ambao ni Prof. Kabudi na William Lukuvi kwenda kusawazisha mambo kule Ngorongoro. Aliagiza kurejeshwa kwa huduma zote za kibinadamu hususan haki ya kupiga kura, afya na elimu vitu ambavyo vilikuwa vimesitishwa chini ya mtutu wa...
  2. TheForgotten Genious

    “Indigenous Peoples” ndio wenye haki ya kuamua wanataka nini kimaendeleo

    Serikali inapambana kuwahamisha wa Maasai Ngorongoro pasipo sababu za msingi pasipo kuangalia athari kuu, wamaasai na wa Handzabe si sawa na wana kizimkazi ni watu watofauti Kabisaaa. Hili suala la wa Maasai litaitia Tanzania katika matatizo makubwa kimataifa. Kama wenye...
  3. THE BIG SHOW

    Takribani miaka 50 iliyopita Mwalimu Nyerere alituusia kuzilinda hifadhi zetu kwa jasho na damu. Serikali inasimamia hilo

    Friends and Our Enemies, Kupitia kwa ARUSHA MANIFESTO miaka hamsini iliyopita,Rais wa kwanza wa nchi hii, Mwalimu J.K Nyerere alituusia na hapa chini nitaweka nukuu yake Over fifty years ago, the first President of Tanzania, the late Mwalimu Julius K. Nyerere recognized the integral part...
  4. Ojuolegbha

    Msomera pamenoga, Wamasai waendelea kuishukuru Serikali

    MSOMERA PAMENOGA, WAMASAI WAENDELEA KUISHUKURU SERIKALI Jamii ya wamasai waliohama Ngorongoro wafurahia Maisha ya Msomera. Wakazi waliohama kwa hiari yao kutoka katika eneo la Hifadhi ya Ngorongoro kuhamia kijiji cha Msomera, Handeni mkoani Tanga wanaendelea na shughuli zao za kawaida ikiwemo...
  5. J

    CHADEMA na Wakenya wana maslahi gani kwenye vurugu zinazoendelea Ngorogoro?

    CHADEMA NA WAKENYA MNAMASLAHI GANI NA VURUGU ZA NGORONGORO? Wamasai wa Ngorongoro wamesikitishwa sana na vitendo vya CHADEMA Kuchochea vurugu Wilayani Ngorongoro Katika kata moja ya Enduleni, CHADEMA ni chama ambacho kimechochea mgogoro wa eneo letu takatifu la Ngorongoro. Tunalaani kwa nguvu...
  6. Suphian Juma

    Masai hawana ardhi, Rais Samia anawapenda

    Wamasai hawana ardhi yao, ardhi ni yetu sotekwa Sheria ya ardhi ya 1999. Aidha Rais Dkt. Samia aliwahamisha FAIRLY Ngorongoro hadi Tanga na kuwapa upendeleo kuliko kabila lolote; makazi, elimu, afya, malisho bure. Wanaowafunda Wamasai migogoro dawa yao inachemka. Tuelimishane... Kwanza...
Back
Top Bottom